Enter it in peace. This is the Day of eternal life!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hapo waambiwe hao Waumini, «Ingieni Peponi kuingia kunakoshikamana na kusalimika na maafa na shari, hali ya kuhifadhiwa na mambo yote mnayoyachukia. Hiyo ndiyo Siku ya starehe za milele zisizokatika.»