They say, “If only ˹some˺ signs had been sent down to him from his Lord!” Say, ˹O Prophet,˺ “Signs are only with Allah. And I am only sent with a clear warning.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na washirikina walisema, «Si ateremshiwe Muammad dalili na hoja kutoka kwa Mola wake, kama vile ngamia wa Ṣāliḥ na fimbo ya Mūsā!» Waambie, «Jambo la miujiza hii liko kwa Mwenyezi Mungu, Akitaka Ataiteremsha na Akitaka Ataizuia. Na hakika ni kwamba mimi ni muonyaji, ninawatahadharisha na ukali wa adhabu Yake na mateso Yake, na ni mwenye kuwaonyesha njia ya haki na batili.»