Те же, чьи лица побелеют, окажутся в милости Аллаха. Они пребудут там вечно.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Ama wale ambao nyuso zao zitakuwa nyeupe kwa mn’garo wa neema na kwa yale mema ambayo walipewa bishara nayo, wao watakuwa katika Pepo ya Mwenyezi Mungu na starehe zake. Wao watasalia humo, hawatatoka humo milele.