The disbelievers advised ˹one another˺, “Do not listen to this Quran but drown it out so that you may prevail.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na makafiri walisema wakiambiana wao kwa wao wakiusiana baina yao, «Msiisikilize hii Qur’ani wala msiiandame wala msizifuate amri zake. Na ziinueni juu sauti zenu kwa kelele, kupiga mbinja na kumfanya Muhammad achanganyikiwe anaposoma Qur’ani, huenda mkamshinda akaacha kusoma na kwa hivyo tukapata ushindi juu yake.»