Оно возвещает благую весть и предостерегает, однако большинство их отворачивается и не слышит.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hali ya kuwa ni yenye kubashiri malipo ya haraka na ya baadaye kwa anayeiamini na akafanya matendo yanayolingana nayo, na ni yenye kuonya adhabu ya haraka na ya badaye kwa anayeikanusha. Hivyo basi wengi wa watu waliipa mgongo wakawa hawaisikii kusikia kwa kukubali na kuitikia.