Те, к кому они взывали прежде, покинут их, и они обретут уверенность в том, что не смогут сбежать.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Wakawapotea hao washirikina wale washirika wao ambao walikuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, wasiwanufaishe na wakajuwa kwa yakini kuwa hakuna makimbilio yoyote ya kuwaepusha wao na adhabu ya Mwenyezi Mungu.