Неужели они заповедали это друг другу? О нет! Они являются людьми, преступающими границы дозволенного.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Je, waliusiana wa mwanzo na wa mwisho kumkanusha Mtume waliposema hivyo kwa umoja wao? Bali wao ni watu wenye kukiuka mipaka kwa uhalifu, nyoyo zao zimefanana na vitendo vyao kwa ukafiri na ukiukaji mipaka, ndipo waliokuja nyuma wakasema hayo kama walivyosema waliotangulia.