Там они получат все, что пожелают, и останутся навечно. Твой Господь взял на себя это испрошенное обещание.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawa wenye utiifu watavipata wanavyovitamani vya ladha za neema, starehe yao humo ni ya daima, na kuingia kwao humo ilikuwa ni ahadi ya Mola wako, ewe Mtume, yenye kuombwa, kwa kuwa waja wema wa Mwenyezi Mungu wanamuomba (hiyo Pepo). Na Mwenyezi Mungu Haendi kinyume na ahadi Yake.