Посланник сказал: «Господи! Мой народ забросил этот Коран».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na Mtume atasema akishtakia matendo ya watu wake, «Ewe Mola wangu! Kwa kweli watu wangu wameiacha hii Qur’ani na wameigura, wameendelea sana katika kuipa mgongo na kuacha kuizingatia na kuitumia na kuifikisha. Katika aya hii pana kitisho kikubwa kwa anayeigura Qur’ani na asiitumie.