Посему не повинуйся неверующим и веди с ними посредством него (Корана) великую борьбу.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi usiwatii makafiri kwa kuacha kitu chochote kile ambacho umetumilizwa nacho. Lakini fanya bidii yako katika kuufikisha ujumbe na upigane jihadi na wenye kuikanusha hii Qur’ani, kupigana jihadi kukubwa kusikochanganyika na udhaifu.