кроме своих жен или невольниц, которыми овладели их десницы, за что они не заслуживают порицания,
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Isipokuwa kwa wake zao au wajakazi waliomilikiwa na mikono yao ya kulia. Hao, Waumini hawana lawama wala makosa kuwaingilia na kujistarehesha nao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewahalalishia.