Когда же Мы распахнем перед ними врата тяжких мучений, они придут там в отчаяние.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Mpaka tulipowafungulia juu yao mlango wa adhabu kali huko Akhera, wakitahamaki wamo ndani yake, wamekata tamaa kupata kheri yoyote, wamechanganyikiwa hawajui wafanye nini.