Они скажут: «Аллаху». Скажи: «Неужели вы не помяните назидание?».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Watakubali kwa lazima kwamba ni ya Mwenyezi Mungu, Yeye Ndiye Muumba wake na Ndiye Mwenye kuimiliki. Waambie, «Je, haliwi hilo kwenu ni lenye kuwafanya mukumbuke kuwa Yeye ni Muweza wa kuwafufua wafu na kuwarudishia uhai?»