Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: Al-A'la 87:9

87:9
فذكر ان نفعت الذكرى ٩
فَذَكِّرْ إِن نَّفَعَتِ ٱلذِّكْرَىٰ ٩
فَذَكِّرۡ
إِن
نَّفَعَتِ
ٱلذِّكۡرَىٰ
٩
Наставляй же людей, если напоминание принесет пользу.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi wawaidhie kaumu zako, ewe Mtume, kwa namna tulivyokutayarishia ufanye kwenye wahyi ulioletewa, uwaongoze njia yenye kheri na wao na uwahusu kwa mawaidha yako wale wanaotarajiwa kuwaidhika nayo. Wala usijisumbue kuwashauri wale ambao mawidha hayawaathiri isipokuwa kuwatia ujeuri na kuwafanya wayakimbie.