О нет! Он принес истину и подтвердил правдивость посланников.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye.