Мы знали, что не спасемся от Аллаха на земле и не спасемся от Него бегством.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
«Na kwamba sisi tuna yakini kuwa mwenyezi Mungu Ana uweza juu yetu, na sisi tuko kwenye mkamato Wake na mamlaka Yake; hatuwezi kumponyoka Anapotaka kutufanya jambo popote pale tulipo. Na hatutaweza kuyahepa mateso Yake kwa kukimbila kwenda mbinguni iwapo Anatutakia mabaya.