Скажи: «Никто не защитит меня от Аллаха, и мне не найти помимо Него прибежища.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Sema, «Hakika mimi sina yoyote wa kuniokoa na adhabu ya Mwenyezi Mungu iwapo nitamuasi, na sitapata asiyekuwa Yeye mahali pa kukimbilia niepukane na adhabu Yake.