Как вы можете отобрать это, если между вами была близость и если они взяли с вас суровый завет?
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na vipi itakuwa ni halali kwenu kukichukua mlichowapa cha mahari, na kila mmoja kati yenu amejiliwaza na mwenzake kwa kuingiliana na walichukua kutoka kwenu ahadi iliyo nzito ya kuwa mtashikamana nao kwa wema au mtaepukana nao kwa ihsani?