Таких Аллах может простить, ведь Аллах - Снисходительный, Прощающий.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Wanyonge hawa ndio wanaotarajiwa kupata msamaha kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, kwa kuwa Yeye Anaujua uhakika wa mambo yao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa msamaha, Anawasamehe makosa yao na Anawafinikia na kuwasitiria.