Каждый человек является заложником того, что он приобрел,
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Kila nafsi imefungwa na kuwekwa rahani kwa ilichokitenda, miongoni mwa matendo mema au mabaya, kwa kukichuma. Haifunguliwi mpaka itekeleze haki zilizo juu ya lazima yake na ipatiwe mateso yanayostahili kupatiwa.