Мы отправили к вам Посланника свидетелем против вас, подобно тому, как отправили посланника к Фараону.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hakika sisi tumemtumiliza kwenu nyinyi, watu wa Makkah, Muhammad kuwa ni Mtume, mwenye kutoa ushahidi wa ukafiri na uasi unaotokana na nyinyi, kama vile tulivyomtumiliza Mūsā kuwa ni Mtume kwenda kwa Fir’awn aliyepita kiasi katika uasi.