Они говорят: «Когда же свершится этот суд, если вы говорите правду?».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawa washirikina wanaifanyia haraka adhabu, wanasema, «Ni lini hukumu hii ya kutuadhibu, kama mnavyodai, ambayo itaamua baina yetu na nyinyi, iwapo nyinyi ni wakweli katika madai yenu?»