Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: As-Sajdah 32:30

32:30
فاعرض عنهم وانتظر انهم منتظرون ٣٠
فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَٱنتَظِرْ إِنَّهُم مُّنتَظِرُونَ ٣٠
فَأَعۡرِضۡ
عَنۡهُمۡ
وَٱنتَظِرۡ
إِنَّهُم
مُّنتَظِرُونَ
٣٠
Отвернись от них и подожди, ведь они тоже ждут.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi wape mgongo, ewe Mtume, hawa washirikina, na usiujali ukanushaji wao, na ungojee vile Mwenyezi Mungu Atawafanya. Hakika wao ni wenye kungojea na kutaraji mpatikane na ubaya. Basi Mwenyezi Mungu Atawapa hizaya na Atawadhalilisha na Akupe ushindi juu yao. Na Mwenyezi Mungu Ashalifanya hilo, sifa njema ni Zake na wema ni Wake.