С окраины города второпях пришел мужчина и сказал: «О мой народ! Последуйте за посланниками.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na akaja mtu kwa haraka kutoka mahali mbali mjini (Napo ni pale ilipojulikana kwamba watu wa kijiji wameazimia kuwaua wajumbe au kuwaadhibu) akasema, «Enyi watu wangu! Wafuateni wajumbe mlioletewa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.