Воистину, я уверовал в вашего Господа. Послушайте же меня».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Mimi nimemuamini Mola wenu, basi nisikilizeni nililowaambia na mnitii mimi kwa kuniamini.» Aliposema hilo, watu wake walimrukia wakamuua, na Mwenyezi Mungu Akamtia Peponi.