Относительно большинства из них сбылось Слово, и они не уверуют.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hakika imeshapasa adhabu juu ya wengi wa hawa makafiri, baada ya kuonyeshwa haki wakaikataa, kwa kuwa hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Mtume Wake wala hawafuati Sheria Zake kivitendo.