Они молили о победе, и каждый упорный притеснитель оказывался в убытке.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Mitume wakaelekea kwa Mola wao wakamuomba Awape ushindi juu ya maadui wao na Ahukumu baina yao, na Yeye Akawakubalia na Akamwangamiza kila mwenye kujiona asiyekubali haki, Asiyeiandama na Asiyetaka kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumtakasia ibada.