Господь наш! Прости меня, моих родителей и верующих в тот день, когда будет представлен счет».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
«Ewe Mola wetu! Nisamehe iwapo yametukia kutoka kwangu mambo ambayo binadamu hawasalimiki nayo, na uwasamehe wazazi wangu wawili (Hapa ni kambla haijamfunukia kwamba baba yake ni adui wa Mwenyezi Mungu) na uwasamehe Waumini wote Siku ambayo watu watasimama kuhesabiwa na kulipwa..»