Ни один человек не уверует без дозволения Аллаха. Он обрушивает ярость на тех, кто не разумеет.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Haikuwa nafsi yoyote ni yenye kumuamini Mwenyezi Mungu isipokuwa kwa idhini Yake na taufiki Yake. Basi usiisumbue nafsi yako katika hilo, kwani mambo yao yako kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu Ataajaalia adhabu na hizaya kwa wale ambao hawayatii akilini maamrisho Yake na makatazo Yake.