Он оживляет и умерщвляет, и к Нему вы будете возвращены.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mwenye kuhuisha na Mwenye kufisha, Hashindwi kuwahuisha watu baada ya kufa kwao, kama ambavyo hakumshindi Yeye kuwafisha Atakapo hilo. Na wao ni wenye kurejea Kwake baada ya kufa kwao.