Он сказал: «Назначь меня управлять хранилищами земли, ибо я - знающий хранитель».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Yūsuf akataka kuwanufaisha waja na kueneza uadilifu baina yao, alimwambia mfalme, «Nifanye mimi kuwa msimamizi wa hazina za Misri, kwani mimi ni mshika hazina mwaminifu mwenye ujuzi na busara juu ya vitu ninavyosimamia.»