Разве Мы изнемогли после первого сотворения? Но они сомневаются в новом сотворении (воскрешении).
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Kwani tulishindwa kuanzisha uumbaji wa kwanza tuliyouanzisha na hakukuwa na kitu chochote, mpaka tushindwe kuwarudisha wao wakiwa viumbe wapya baada ya kutoweka kwao? Hilo halitushindi. Bali sisi ni waweza wa hilo, lakini wao wako kwenye mshangao na shaka juu ya jambo la kufufuliwa na kukusanywa.