Истина - от твоего Господа. Посему не будь в числе тех, кто сомневается.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Yale yaliyoteremshwa kwako, ewe Nabii, ndiyo haki kutoka kwa Mola wako. Kwa hivyo, usiwe ni kati ya wale wanaoyatilia shaka. Maneno haya, ingawa anambiwa Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, yanaelekezwa kwa ummah wote.