Помяни в Писании Ибрахима (Авраама). Он был правдивейшим человеком и пророком.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na uwatajie, ewe Mtume, watu wako katika hii Qur’ani kisa cha Ibrahīm, amani imshukiye; kwa hakika yeye alikuwa ni mkweli mkubwa na ni miongoni mwa Manabii wa Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, wenye daraja za juu.