Адиты сочли лжецами посланников. Какими же были мучения от Меня и предостережения Мои!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Watu wa kabila la 'Ād walimkanusha Hūd tukawatesa, basi ilikuwa vipi vile nilivyowaadhibu wao kwa ukafiri wao na vile nilivyowaonya wao kwa kumkanusha Mtume wao na kutomuamini? Ilikuwa kubwa yenye uchungu.