по милости от Нас. Так Мы воздаем тем, кто благодарен.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
ikiwa ni neema itokayo kwetu juu yao. Kama tulivyompa malipo mema Lūṭ na watu wake wa nyumbani, tukawapa neema na tukawaokoa na adhabu yetu ndivyo tunavyowalipa mema waliotuamini na kutushukuru.