Я подвергну его суровым мучениям или же зарежу его, если он не приведет ясного довода».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
alisema, «Nitamuadhibu hud-hud huyu adhabu kali kwa kumtia adabu ya kutokuweko kwake, au nitamtesa kwa kumchinja kwa kitendo alichokifanya kwa kuwa aliharibu nidhamu aliyowekewa aifuate, au ni lazima anijie na hoja iliyo wazi ya sababu ya kughibu kwake.