В городе было девять человек, которые распространяли на земле нечестие и ничего не улучшали.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na katika mji wa Ṣāliḥ, nao ni mji wa Ḥijr, ulioko Kaskazini magharibi ya bara Arabu, kulikuwa na wanaume tisa, shughuli yao ni kufanya uharibifu katika ardhi usiochanganyika na wema wowote wa kutengeneza.