Это было обещано нам и еще раньше - нашим отцам. Но это - всего лишь легенды древних народов».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Tuliahidiwa kufufuliwa huku, sisi na wazazi wetu, hapo kabla(tulipokuwa duniani) hatukuuona uhakika wake wala kutokea kwake. Hatukuona ahadi hii isipokuwa ni hadithi za urongo zilizozuliwa na kuandikwa na watu wa kale ndani ya vitabu vyao.