Они говорят: «Когда же сбудется это обещание, если вы говорите правду?».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na washirikina wa watu wako, ewe Mtume, wanasema «Itakuwa lini ahadi hii ya adhabu mnayotuahidi kwayo, wewe na wafuasi wako, mkiwa nyinyi ni wakweli katika yale mnayotuahidi?»