Уповай же на Аллаха, ибо ты придерживаешься очевидной истины.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Jitegemeze, ewe Mtume, katika mambo yako yote kwa Mwenyezi Mungu na uwe na imani Kwake, kwani Yeye ni Mwenye kukutosha. Hakika wewe uko kwenye njia iliyo wazi isiyokuwa na shaka.