Не ступай по земле горделиво, ведь ты не пробуришь землю и не достигнешь гор высотой!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na usitembee ardhini kwa kujigamba na kujivuna, kwani wewe hutaipasua ardhi kwa kutembea juu yake kwa namna hiyo na hutaifikia milima katika urefu kwa kujigamba kwako, kujivuna kwako na kutakabari kwako.