Посмотри, какие притчи они приводят тебе. Они впали в заблуждение и не могут найти дорогу.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Fikiri, ewe Mtume, kwa kulionea ajabu neno lao kwamba Muhammad ni mchawi mshairi mwenye wazimu. Hivyo basi wamekiuka mpaka na wamepotoka na hawakuongokea njia ya haki na usawa.