Нух (Ной) сказал: «Господи! Не оставь на земле ни одного неверующего жителя!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na akasema Nūḥ, amani imshukie, baada ya kukata tama na watu wake, «Mola wangu! Usimuache yoyote miongoni mwa wale wanaokukanusha kuwa ni mwenye kuishi juu ardhi akizunguka na kutembea.