У этих людей погублено будет то, что они исповедуют, и тщетно будет то, что они совершают».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hakika hawa wanaowakalia hawa masanamu, ushirikina waliomo ndani yake umeangamizwa, na ni yenye kuangamiza na ni ya urongo yale waliokuwa wakiyafanya ya kuwaabudu masanamu hao ambao hawawazuilii adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwashukia.