Когда они ослушались того, что им было запрещено, Мы сказали им: «Будьте обезьянами презренными!».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi pote hilo lilipoasi na likayakiuka yale ambayo Mwenyezi Mungu Alioyakataza ya kutowinda siku ya siku ya Jumamosi, Mwenyezi Mungu Aliwaambia (watu wa pote hilo), «Kuweni manyani hali ni wanyoge ni wenye kuwekwa mbali na kila jema.» Na wakawa hivyo.