Скверна притча о тех, которые считают ложью Наши знамения и поступают несправедливо по отношению к себе.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Ni mfano mbaya ulioje! Mfano wa watu waliokanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake wakazikataa na hali kwamba ni nafsi zao wenyewe walikuwa wakizidhulumu kwa sababu ya kukanusha kwao hoja hizi na dalili.