Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: Al-A'raf 7:183

7:183
واملي لهم ان كيدي متين ١٨٣
وَأُمْلِى لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِى مَتِينٌ ١٨٣
وَأُمۡلِي
لَهُمۡۚ
إِنَّ
كَيۡدِي
مَتِينٌ
١٨٣
Я дам им отсрочку, ведь хитрость Моя несокрушима.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na nitawapa muhula hawa ambao walizikanusha aya zetu mpaka wadhanie kwamba wao hawatateswa, waongeze ukafiri na uasi. Na kwa hivyo, waongezewe adhabu. Kwani vitimbi vyangu ni vigumu, yaani: ni vya nguvu na vikali havizuiliwi kwa nguvu wala kwa hila.