Их ложа будут из Геенны, а над ними будут покрывала. Так Мы воздаем беззаконникам.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Makafiri hawa ni wenye kukalishwa milele Motoni. Watapata humo kwenye Moto wa Jahanamu tandiko chini yao, na juu yao kutakuwa na mifiniko inayowafinika. Na mfano wa mateso haya mabaya Atawatesa nayo Mwenyezi Mungu wale madhalimu ambao wamekiuka mipaka Yake, wakamkanusha na wakamuasi.