которые сбивали других с пути Аллаха, пытались исказить его и не верили в Последнюю жизнь».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Makifiri hawa ndio wale waliokuwa wakiipuuza njia ya Mwenyezi Mungu iliyolingana sawa, na wakiwazuia watu wasiifuate, na wakitaka kwamba njia ya kuifuata iwe kombo ili kusiwe na yoyote wa kuielewa; na wao, kuhusu Akhera na mambo yake, ni wenye kukanusha.